Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
babu shikamoo ila tuheshimiane.tuacheni tupumue
Huu ni ugonjwa ambao wahusika wanatakiwa kuufanyia kazi.....
Kadri wanaume wengi wanavyopigana na vitambi, naona kama wanawahamishia wadau wao....
Sitaki kusema mengi ila vitambi vya kupitiliza vinakera sana....
Babu DC!!