IHOLOMELA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,807
- 1,677
unakuta msichana mzuri kaumbika kiafrika na anavutia ukimtizama ila tumbo sasa dah mpaka linaning'ing' inia yanii
wengine hata wajazaa bado sasa walikwisha kuwa wazaxi wanajiachia sana ndio tunapenda bantu figure ila liwe natural sio la kupikwa kwan linanenepesha kila kitu....na sku hizi na body suit zao zunaaacha vitambiiii bwereeeeee
hawafanyi kaz nzito, mama yangu alikuwa akienda shamba, akitwanga mahindi na mpunga na shughul nyingne na hakuwa na kitambi. Sasa hawa kula kulala, chips mayai na kuku wa kichina unategemea watakuwa na bantu fiqure?