vitambi vya wanaume navyo vinasababishwa na nini! au supu kama Matola anavyosema?
Hili jambo ni janga la Taifa, tatizo Dada zetu nao siku hizi mpaka supu ya kongoro nao wamo, supu ya ulimi nao wamo supu ya mkia nao wamo supu ya kichwa nao wamo. mwe!!
sasa hivi sijipunguzi tena kama mtu hataki aache!
Mambo iko huku
![]()
Hahaha. Yaani masimango yangekuwa yanaondoa vitambi mbona vingetoweka kwa jina la mapenzi!
Ngoja nikale kitimoto mie mweeh.
Nna kiu ya safari laga koo limefunguka kama turbo charger⊙