Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hapa ndo nazidi kuitia mashaka serikali ya CCM hivi mbona haingii akilini?
Mtalii aliuwawa serengeti serikali ikahamia serengeti na wauwaji wakakamatwa ndani ya masaa 24
Kwa Dr. Olimboka tunaenda kuimaliza wiki bado kimyaaa hata wale watu wawili aliokuwa nao siku ya tukio hatujawasikia kunani ndani ya kapuuuuuuu?
Mtalii aliuwawa serengeti serikali ikahamia serengeti na wauwaji wakakamatwa ndani ya masaa 24
Kwa Dr. Olimboka tunaenda kuimaliza wiki bado kimyaaa hata wale watu wawili aliokuwa nao siku ya tukio hatujawasikia kunani ndani ya kapuuuuuuu?