dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Mie sina imani na serikali kabisa ya CCM na kweli kesi ya nyani tunampelekea tumbili, iweje mtalii mmoja kuuwawa serikali yote ikahamia Serengeti na cha ajabu eti wahusika wamekamatwa na siraha zote na vilivyo ibwa.
Najiuliza kwa nini kwa Olimboka wameunda tume tena wanaipa mwezi kuna nini nyuma ya Jeshi la Polisi na serikali ya CCM???? Hawa ni wauwaji
Najiuliza kwa nini kwa Olimboka wameunda tume tena wanaipa mwezi kuna nini nyuma ya Jeshi la Polisi na serikali ya CCM???? Hawa ni wauwaji