Well saidNafikiri hawa wenzetu kwa kuwa wanaacha makazi yao na kukaa/ kuishi kazini, basi wanachukuliwa kama ni mashine hivi, hawana mahitaji ya kimwili.
Wapeni siku za mapumziko, watoke, hamtakumbana na vituko. Geti kali, kwani mwanao huyo? Hata huyo mtoto unamtoa nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wadada wa siku hizi ni moto, wengi hawakai hatamwezi,
Jirani yangu Kaleta mdada nyumba ni full geti, (getikali) binti hakuna kutoka kila kitu kipo ndani basi siku moja Wenye nyumba wameenda kwenye harusi kurudiusikuwanakuta na viatu vya kiume nje kucheki kumbe binti na jamaawamejisahau baada ya kufanya Yao wakapitiwa na usingizi, varangati badae dada. Kuondoka,
Kisa Kingine Wenye nyumba wanaondoka binti nae anasepa anawafungia watoto ndani watoto wanalia wee wanajipupulia humohumo ndani maji rani wakambonyezea mama mwenye nyumba duh balaa,
Ntaendelea na vingine badae,
Balaa lingine ni kwenye simu, usiku mzima ni kuchati
Waweza ongezea na vya Kwako ulivoviona au kukutokea wewe
Haha sisi dada wetu wa kazi tulimpeleka kuanza kusoma QT mbona tulijuta na kucheka ana bukua huyooooo humwambi kitu cha chemisitry hajui ni shidaaa
Kuna mmoja huyo balaa, kipindi cha kusali AZ family anasinzia ila kwenye TV anakesha.Wadada,wa kazi kwa tviiiiiii
πππππππππππKuna mmoja huyo balaa, kipindi cha kusali AZ family anasinzia ila kwenye TV anakesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuyenge si humo humo? linaweza tumika tuTatizo majirani mnawabania Sana hawa viumbe nao ni binadamu wanahitaji mikuyenge,Uhuru nk.πππ