Katika kura za maoni za CCM, nec ilimuondoa Bashe hali iliyozua mazungumzo haya:
Swali; Mbona mmemuondoa Bashe kwa kigezo cha kutokua raia wakati uhamiaji wamethibitisha yeye ni raia halali
CCM; Uhamiaji hawana data za ukweli kama sisi na ni wababaishaji
Swali; Wazee wamesema kuwa MKULO si raia halali wa Tanzania, mnalizungumziaje hilo
CCM Hilo si kweli kwani Mkulo ni raia halali wa Tanzania hata uhamiaji wamemthibitisha
Hivyo ndo vituko vya uchaguzi wa mwaka huu na kisha wakampigia magoti ili aokoe jahazi.