1. ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....
1.ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2.anaunda kamata na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3.anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4.anakimbiwa na wabunge wakati bunge likeindelea.
5.
6.
...........
Hawa baazi ya wanawake wanaopewa nafasi za juu kupitia migongo ya Magamba ni tatizo kubwa sana. Wanafanya wanawake wengine waonekane hawajui nini maana ya uongozi. Huyu mama ni mzigo kwa Taifa kuliko maelezo.
1. ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....
Hapa nakunywa chai kwa niaba yako kwani uliyoyasema ni kweli kabisa juu ya ushirikiana wa wanasiasa wetu. Hapa Bongo mwanasiasa ni mtu wa kumwogopa kwani wayafanyayo gizani ni ya kutisha.
1. ni mtalaam wa kuzima hoja za wabunge.
2. anaunda kamati na uchunguzi wake anaweka kabatini.
3. anavunja kamati na hawezi kuunda mpya.
4. anakimbiwa na wabunge wakati bunge likiendelea.
5.....