RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,630
- 110,883
Ok napita sana ila sijui wapi ni wapi. Nakumbuka kuna sista du mmoja alikuwa anakaa kule mbele njia inapozunguka kwa mama zakaria sijui, yeye anasema nakaa kijitonyama, ukimwambia hapa nyamala hataki kabisa!Nop A inaanza kona ya mwananyamala hospital ndio A kuanza pale kwenye kona