Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Mama mmoja mswahili na mwanawe wa
miaka 5 walikuwa ndani ya taxi usiku
wakapitishwa mitaa ambayo kuna wanawake
wanajiuza:-
MTOTO:"Mama hao watu waliosimama kando
ya barabara wanafanya nini?"
MAMA:"Wanasubiri wanaume zao watoke
kazini waje kuwachua warudi nao nyumbani."
TAXI DRIVER:"Aaaah mama acha uongo
mwambie mtoto ukweli...hao ni malaya na
hapo walipo wanasubiri wanaume wafanye
sex nao kwa malipo!"
MTOTO:"Mama na watoto wanaozaliwa na
hawa wanawake hufanya nini?"
MAMA:"maranyingi huwa Wanakuwa
madereva wa taxi!"
miaka 5 walikuwa ndani ya taxi usiku
wakapitishwa mitaa ambayo kuna wanawake
wanajiuza:-
MTOTO:"Mama hao watu waliosimama kando
ya barabara wanafanya nini?"
MAMA:"Wanasubiri wanaume zao watoke
kazini waje kuwachua warudi nao nyumbani."
TAXI DRIVER:"Aaaah mama acha uongo
mwambie mtoto ukweli...hao ni malaya na
hapo walipo wanasubiri wanaume wafanye
sex nao kwa malipo!"
MTOTO:"Mama na watoto wanaozaliwa na
hawa wanawake hufanya nini?"
MAMA:"maranyingi huwa Wanakuwa
madereva wa taxi!"