Vituko vya mimba!

Vituko vya mimba!

Kuna mmoja nilimuona anaokota kinyesi kikavu kwenye mapagale na kutafuna anasema anapenda mlio wake anapotafuna na ni mama msomi tu duuu.
 
mimba inataka chupi ya mmewe ,mama anataka kuva au kutembea nayo kwa bag nakuinusa!
 
mimba noma, dada alikuwa akimwona mmewe anatapka balaa! ilibidi ahame nyumba
 
Akipata mimba ...peleka kijijini akae na wakwe uone kama huo ujinga atawaambia
 
Mimba noma, kuna jamaa
alitolewa night kali akatafte
vitango tena kwa kilio, ikabidi jamaa amuamshe muuza vitango tena mbali na home kwao, jamaa aliporudi akaambiwa avioshe na avimenye then avikate alipomaliza akavipeleka, mwanamke akamwambiwa akae chini ya maskio ya mkewe avitafune vyote! Kumbe dem alitamani kuskia kitango kinavyotafunwa!

nakataa kuvitafuna !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom