Vituko vya mimba!

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,132
Reaction score
188
Mimba noma, kuna jamaa
alitolewa night kali akatafte
vitango tena kwa kilio, ikabidi jamaa amuamshe muuza vitango tena mbali na home kwao, jamaa aliporudi akaambiwa avioshe na avimenye then avikate alipomaliza akavipeleka, mwanamke akamwambiwa akae chini ya maskio ya mkewe avitafune vyote! Kumbe dem alitamani kuskia kitango kinavyotafunwa!
 
huyo kazidi.maybe hiyo mimba anamkomoa kwa aliyomfanyia wakati hana mimba
 
stori za kijiwe cha kahawa hizi.
 

Umeshashiba urojo sasa hivi ukaamua kuja kuzingua tu hapa. Sawa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umeshashiba urojo sasa hivi ukaamua kuja kuzingua tu hapa. Sawa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ngoja naye aonje mateso ya kulea mimba hadi kutimiza miezi 9 atakuwa ameshamzoea
 
Mshauri akaombewe itakuwa pepo hilo
 
mie mwenzio naambiwa kila siku niende na nyama asikie alufu..ikilala hataki anadai haina harufu.
 
wanaume mnakomaje na mimba... aiseee poleni sana
:mimba::mimba::mimba::mimba:
 
kesho atasema uvae chupi yake.na ukikataa atakwambia anarudi kwao kwa sababu una mpenzi mwingine.
 
Asipofanya anavotaka itatoka???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umeshashiba urojo sasa hivi ukaamua kuja kuzingua tu hapa. Sawa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Sio kosa lako tatizo huyajui maisha hayo! Kuna mwengine anaweza kukwambia anapenda kusikiliza harufu ya makwapa yako!
Sasa balaa zaidi linaweza kutokezea siku akapita njemba mama watoto akatamani kuisikia harufu ya makwapa ya huyo mjamaa au nyumbani siku hiyo hulali, na hutolala kweli! Je kama wewe utafanya nini?
Mkuu usibishe mimba ni zaidi ya ugonjwa...
 
Kusikiliza harufu? Yaani makwapa yanatoa sauti, jasho hilo kiboko!

Mi nahisi mimba zangu zitakuwa zinataka holidays sychelles na brazil. Don Mangi, ntakuita uchangie.maskio ya mtoto afu unipeleke holidays. Paw kazi yake kununua pizza na magari, manake.nahisi mimba itakuwa inapenda magari balaa!
 
Last edited by a moderator:

mpemba pumbafu,thread gani hiyo?
 

Inawezekana mimba zako zikawa hivyo kutokana na 'user name' yako!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…