Kaka Sam
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 540
- 78
Kuna mjamzito mmoja alinunua embe alivyokuwa wametoka kutembea na best yake alivofika home akaliweka kwny fridge kisha akalala mume wake akarudi toka ofcn akala embe la mkewe kisha akaondoka mdada akaamka mawazo yote kwny embe kufika fridgin embe lake limeliwa ilikuwa ni balaa alilia mpaka mume wake alivorudi,
mume wake akapanick akijua anaumwa kumbe analilia embe lake
em wekeni vituko vingine basi tucheke.........
mume wake akapanick akijua anaumwa kumbe analilia embe lake
em wekeni vituko vingine basi tucheke.........