Vituko vya mimba

Kaka Sam

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
540
78
Kuna mjamzito mmoja alinunua embe alivyokuwa wametoka kutembea na best yake alivofika home akaliweka kwny fridge kisha akalala mume wake akarudi toka ofcn akala embe la mkewe kisha akaondoka mdada akaamka mawazo yote kwny embe kufika fridgin embe lake limeliwa ilikuwa ni balaa alilia mpaka mume wake alivorudi,
mume wake akapanick akijua anaumwa kumbe analilia embe lake

em wekeni vituko vingine basi tucheke.........
 
Kuna mjamzito mmoja alinunua embe alivyokuwa wametoka kutembea na best yake alivofika home akaliweka kwny fridge kisha akalala mume wake akarudi toka ofcn akala embe la mkewe kisha akaondoka mdada akaamka mawazo yote kwny embe kufika fridgin embe lake limeliwa ilikuwa ni balaa alilia mpaka mume wake alivorudi,
mume wake akapanick akijua anaumwa kumbe analilia embe lake

em wekeni vituko vingine basi tucheke.........

Mi nilikutana na limama limoja,baada ya goli 1 nikasema naomba niondoke,yule mama akanambia hapa hutok,umeshanichafua ama cvyo naziloweka nguo zako,
na hutoki hapa kwangu,
ah,ikanibid nimgonge cha pili,ctak tena hata kuonana nae
 
Mi nilikutana na limama limoja,baada ya goli 1 nikasema naomba niondoke,yule mama akanambia hapa hutok,umeshanichafua ama cvyo naziloweka nguo zako,
na hutoki hapa kwangu,
ah,ikanibid nimgonge cha pili,ctak tena hata kuonana nae

hilo limama lilikuwa mjamzito?
 
Mi nilikutana na limama limoja,baada ya goli 1 nikasema naomba niondoke,yule mama akanambia hapa hutok,umeshanichafua ama cvyo naziloweka nguo zako,
na hutoki hapa kwangu,
ah,ikanibid nimgonge cha pili,ctak tena hata kuonana nae

He!
 
mi nilikutana na limama limoja,baada ya goli 1 nikasema naomba niondoke,yule mama akanambia hapa hutok,umeshanichafua ama cvyo naziloweka nguo zako,
na hutoki hapa kwangu,
ah,ikanibid nimgonge cha pili,ctak tena hata kuonana nae

ungesema tu ulikutana na mama mmoja badala ya limama ingepeneza sana.
 
Kuna dada mmoja nilimshuhudia yeye mimba yake ilikuwa inapenda harusfu ya kinyesi.

Kila saa tunamuona anaenda chooni ikabidi kuchunguza maana anaenda kila saa na anakaa muda mrefu sana

Katika kumuuuliza sana alithibitisha kuwa anapenda sana harufu ya kinyesi (choo chenyewe cha shimo) hasa wakati ule wakati ule wa jioni/usiku ambapo huwa kinatoa mvuke sana na harufu hivyo huegesha pua yake hapo na kunusa mpaka akiridhika ndipo anarudi ndani au kuendelea na shughuli nyinginezo
 
Kuna dada mmoja nilimshuhudia yeye mimba yake ilikuwa inapenda harusfu ya kinyesi.

Kila saa tunamuona anaenda chooni ikabidi kuchunguza maana anaenda kila saa na anakaa muda mrefu sana

Katika kumuuuliza sana alithibitisha kuwa anapenda sana harufu ya kinyesi (choo chenyewe cha shimo) hasa wakati ule wakati ule wa jioni/usiku ambapo huwa kinatoa mvuke sana na harufu hivyo huegesha pua yake hapo na kunusa mpaka akiridhika ndipo anarudi ndani au kuendelea na shughuli nyinginezo

Sipati picha akili za mtoto aliyezaliwa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom