Vituko vya mama mkwe

Vituko vya mama mkwe

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
974
Wadau poleni kwa 'BERLIN WALL'

Kama mada inavyojieleza nina mchumba wangu na wote tunaishi huku mikoa ya kusini mwa Tanzania. Sasa nimepata mtihani mama mkwe wangu ni mkarimu sana si unajua tena anabembeleza ndoa ya mwanae. Sasa wikend hii iliyopita niliamua kumtembelea mchumba wangu ki ukweli hatuishi mji mmoja, bahati mbaya sikumkuta na sikumpa taarifa kuhusu ujio wangu.

Basi bwana nikatinga home kwao nikamkuta mama mkwe mtarajiwa akanikaribisha kwa bashasha sana. Nikapiga zangu story mbili tatu nikaamua kuaga nirudi zangu home ninakoishi kwa kuwa mchumba wangu hakuwepo, hivyo mama mkwe akaamua anisindikize kidogo lakini kuna neno niliambiwa na mama mkwe wangu hadi leo sijajua lina maana gani naomba wajuvi wanisaidie.

Niliambiwa hiviiiii na mama mkwe 'KWANI UMEPENDA CHA NTOTO TU, JEEE CHA MAMA AKE HUKIPENDI? Hadi leo sijapata majibu ni nini hicho sikipendi?

Had leo nimekosa majibu kwake!
 
Huyo mama mkwe kiboko aisee.Katoa wapi ijasiri wa kuzungumza hivo kweli dunia ina mambo
 
Walimwengu wana mambo !

Mkweo nae yuko salama kichwani?

Ila nakushauri usijisogeze matatizoni. Alarm ishapiga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom