mkuu inavo onesha hao wanatabia mbovu huko kwao sasa we banjua alafu katafute mwingine wa kuoa.Hahahaaaaaa mkuu unanitafutia balaa

kuanzia wewe mkeo na mama mkwe wako wote mnaonekana ni watu wa hovyo hovyo
kwanini mkuuUandishi wako unajionesha wazi pia we ni wa kusini
Sent from mTalk
Tumia akil kijana hcho n kipimo cha mama mkwe kma ww n mpakuaji ama la.ukikubal tu umemkosa mwanae na mama akupi kitu hapo.Wadau poleni kwa 'BERLIN WALL'
Kama mada inavyojieleza nina mchumba wangu na wote tunaishi huku mikoa ya kusini mwa TANZANIA, sasa nimepata mtihani mama mkwe wangu ni mkarimu sana si unajua tena anabembeleza ndoa ya mwanae, sasa wikend hii iliyopita niliamua kumtembelea mchumba wangu ki ukweli hatuishi mji mmoja, bahati mbaya sikumkuta na sikumpa taarifa kuhusu ujio wangu, basi bwana nikatinga home kwao nikamkuta mama mkwe mtarajiwa akanikaribisha kwa bashasha sana, nikapiga zangu story mbili tatu nikaamua kuaga nirudi zangu home ninakoishi kwa kuwa mchumba wangu hakuwepo, hivyo mama mkwe akaamua anisindikize kdg lakini kuna neno niliambiwa na mama mkwe wangu hadi leo sijajua lina maana gani naomba wajuvi wanisaidie, niliambiwa hiviiiii na mama mkwe 'KWANI UMEPENDA CHA NTOTO TU, JEEE CHA MAMA AKE HUKIPENDI? hadi leo sijapata majibu ni nini hicho sikipendi?
Had leo nimekosa majibu kwake!
Wanakuzidi wewe,au wewe si mtamu???nasikia wamakonde watamu balaa
Hovyo hovyo haswaaaa..mama gani asiyejielewa,ujana wake autumie wapi uzee aje kushea na mwanae..khaaakuanzia wewe mkeo na mama mkwe wako wote mnaonekana ni watu wa hovyo hovyo
Wamakonde ktk ubora wao kesho nakuja masasi- ndanda high xuliWadau poleni kwa 'BERLIN WALL'
Kama mada inavyojieleza nina mchumba wangu na wote tunaishi huku mikoa ya kusini mwa TANZANIA, sasa nimepata mtihani mama mkwe wangu ni mkarimu sana si unajua tena anabembeleza ndoa ya mwanae, sasa wikend hii iliyopita niliamua kumtembelea mchumba wangu ki ukweli hatuishi mji mmoja, bahati mbaya sikumkuta na sikumpa taarifa kuhusu ujio wangu, basi bwana nikatinga home kwao nikamkuta mama mkwe mtarajiwa akanikaribisha kwa bashasha sana, nikapiga zangu story mbili tatu nikaamua kuaga nirudi zangu home ninakoishi kwa kuwa mchumba wangu hakuwepo, hivyo mama mkwe akaamua anisindikize kdg lakini kuna neno niliambiwa na mama mkwe wangu hadi leo sijajua lina maana gani naomba wajuvi wanisaidie, niliambiwa hiviiiii na mama mkwe 'KWANI UMEPENDA CHA NTOTO TU, JEEE CHA MAMA AKE HUKIPENDI? hadi leo sijapata majibu ni nini hicho sikipendi?
Had leo nimekosa majibu kwake!

Ambacho unakipenda kwa mtoto nae anacho kwan hukitakWadau poleni kwa 'BERLIN WALL'
Kama mada inavyojieleza nina mchumba wangu na wote tunaishi huku mikoa ya kusini mwa Tanzania. Sasa nimepata mtihani mama mkwe wangu ni mkarimu sana si unajua tena anabembeleza ndoa ya mwanae. Sasa wikend hii iliyopita niliamua kumtembelea mchumba wangu ki ukweli hatuishi mji mmoja, bahati mbaya sikumkuta na sikumpa taarifa kuhusu ujio wangu.
Basi bwana nikatinga home kwao nikamkuta mama mkwe mtarajiwa akanikaribisha kwa bashasha sana. Nikapiga zangu story mbili tatu nikaamua kuaga nirudi zangu home ninakoishi kwa kuwa mchumba wangu hakuwepo, hivyo mama mkwe akaamua anisindikize kidogo lakini kuna neno niliambiwa na mama mkwe wangu hadi leo sijajua lina maana gani naomba wajuvi wanisaidie.
Niliambiwa hiviiiii na mama mkwe 'KWANI UMEPENDA CHA NTOTO TU, JEEE CHA MAMA AKE HUKIPENDI? Hadi leo sijapata majibu ni nini hicho sikipendi?
Had leo nimekosa majibu kwake!
maua mengine yashanyauka banaUkipenda boga penda na uwa lake