Haya mambo yapo sana. Mimi yalinikuta na mtoto wa kipare. Sasa nimeshambanjua mtoto wake, japo hakuna uchumba wala ndoa na yeye anajua. Mama mtu hajui kama mimi nina uhusiano na mtoto wake. Sasa tukikutana yule mama ananisalimia kwa bashasha sana, nikimpa mkono wa salamu anaushika, alafu anaupeleka kwenye ziwa lake anautuliza pale. Alafu sasa amejaliwa big boobs. Siku nyingine tukisalimiana ananikumbatia kama vile wapenzi, huwa nawaza tuu sijui anaogopa kusema nikamle? Huyu mama mume wake alifariki kwa ajali miaka mingi kidogo na ameamua asiolewe. Sasa naona anazidiwa na nyege