Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,233
Haya ni maajabu ya dunia , unaweza kudhani huyu jamaa kaja mwenyewe kumbe Katumwa ! sasa unaweza kushangaa kama hawa ndio watetezi wa viongozi !
# Mmea udumu .
Hivi kwa akili yako huyu afande Sele ndio wa kumjibu Kikwete kweli ?Ya kwako yanakushinda unahangaika Na ya jirani
Hivi kwa akili yako huyu afande Sele ndio wa kumjibu Kikwete kweli ?
View attachment 1228857
Haya ni maajabu ya dunia , unaweza kudhani huyu jamaa kaja mwenyewe kumbe Katumwa ! sasa unaweza kushangaa kama hawa ndio watetezi wa viongozi !
# Mmea udumu .
Hivi kwa akili yako huyu afande Sele ndio wa kumjibu Kikwete kweli ?
Kikwete kwan Ndo Nan?Hivi kwa akili yako huyu afande Sele ndio wa kumjibu Kikwete kweli ?
Afande Sele ana akili sana...kuanzia Leo sio private Sele tena....ni warrant officer III.View attachment 1228857
Haya ni maajabu ya dunia , unaweza kudhani huyu jamaa kaja mwenyewe kumbe Katumwa ! sasa unaweza kushangaa kama hawa ndio watetezi wa viongozi !
# Mmea udumu .
Kilichokukera ni nini? Kila mtu katoa maoni yake. Tatizo nini! Nyumbu bwana!View attachment 1228857
Haya ni maajabu ya dunia , unaweza kudhani huyu jamaa kaja mwenyewe kumbe Katumwa ! sasa unaweza kushangaa kama hawa ndio watetezi wa viongozi !
# Mmea udumu .
Ukisoma msg za watu wa JF hapa, unaweza kuamini labda Kikwete ni bonge la thinker! Sasa kama kweli wanaamini hivyo basi Magufuli yabidi aongeze mgandamizo. Kuna kasoro ya akili zetu. Yaani leo maneno ya Kikwete yamejaa busara!Kikwete kwan Ndo Nan?
Hivi huyu alishaacha kutembea uchi? Maana kuna wakati aliwehuka!View attachment 1228857
Haya ni maajabu ya dunia , unaweza kudhani huyu jamaa kaja mwenyewe kumbe Katumwa ! sasa unaweza kushangaa kama hawa ndio watetezi wa viongozi !
# Mmea udumu .
Hivi kwa akili yako hamna ahnayeweza andika huu upumbavu alafu akasema ni afande sele?Hivi kwa akili yako huyu afande Sele ndio wa kumjibu Kikwete kweli ?