Vituko tulivyo fanya tukiwa Primary School

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,987
156,261
Kuna vituko vingi sana tulifanya tukiwa wadogo rika lile la shule ya msingi.
Visa tulifanya kanisani, shuleni, nyumbani na mitaani kwa ujumla.
Je wewe unakumbuka kituko gani?
 
Mambo ya primary bwana? Nakumbuka nilikuwa napiga matofali ya kuchoma kwa kicha yanapasuka. Basi kuna siku demu mzuri akaniletea jiwe badala ya tofali. Kwa kuwa nilikuwa nampenda nikakubali. Ile nimepiga tu kichwa mzee niliibuka na bonge la nundu.
 
Nilikuwa kiranja, ebwanaee nilikuwa napiga mamisosi ya waalimu kwa kwenda mbele!
 
Mambo ya primary bwana? Nakumbuka nilikuwa napiga matofali ya kuchoma kwa kicha yanapasuka. Basi kuna siku demu mzuri akaniletea jiwe badala ya tofali. Kwa kuwa nilikuwa nampenda nikakubali. Ile nimepiga tu kichwa mzee niliibuka na bonge la nundu.
Lazima ulimkosa huyo kimwana
 
Ebwana kutongoza ilikuwa ilikuwa issue,hadi kabarua kenye maua kibao na I love u za kufa mtu. Wakati mwingine ukimpenda demu unamfanyia vituko ili akimbie ili ukamweleze shida zako huko au ufanye mambo ya 'shaghulaga'
 
Back
Top Bottom