Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,142
- 166,071
Kuna vituko vingi sana tulifanya tukiwa wadogo rika lile la shule ya msingi.
Visa tulifanya kanisani, shuleni, nyumbani na mitaani kwa ujumla.
Je wewe unakumbuka kituko gani?
Visa tulifanya kanisani, shuleni, nyumbani na mitaani kwa ujumla.
Je wewe unakumbuka kituko gani?