Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,761
Mwenye ushungi aitww Mjukuu wa ChiefNitajie huyo mwenye ushungi wakwetu nimepitwa lol
Mwenye ushungi aitww Mjukuu wa ChiefNitajie huyo mwenye ushungi wakwetu nimepitwa lol
yaan kanikera kweli embe hili halichuchiki atafute mwembe mwengine mekuelewa kakKwa niaba yake tu mi nikuombe samahani kwausubbufu uliupata, maisha yana furaha na huzuni pia. Ila vyote huzuni na furaha husababishwa na watu. Kwa hiyo pole sana chukulia ni sehemu ya maisha tu, na endelea na mambo mengine kiroho safi bila kinyongo. Ila kuna msemo waswahili wanasema ukitaka kumvua pweza lazima umchokoze kwanza, inawezekana huyu anataka kuvua pweza 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Tumekuita kabisa. Boban alikua anaomba mods uzi wa gilesi uachiwe wazi watu waendelee kucheka.Nimepitwa na huo uzi uwiiiii,ulikua unasemaje huo?
Anavaa taiti tatu lakin bado yanatikisika anasumbuliwa sana na miluzi gilesiHahahahh gilesi ana matako yanashuka
AsanteeMwenye ushungi aitww Mjukuu wa Chief
Kuna mmoja kaniona nacheka mpaka na yeye akaanza kucheka. Nikamuhadithia na ndo muda yule Yaka nini sijui ndo katuma anaulizia kama yamekaza basi kacheka.Mim sasa nkaanza kuwahadthia watu hata hawaijui jf,walicheka tu lkn naona walicheka kunsapot tu sidhan kama wamenielewa na gilesi wetu
Hehehehee yatakuwa yanatikisika kama ya wema sepetuAnavaa taiti tatu lakin bado yanatikisika anasumbuliwa sana na miluzi gilesi



Tumekuita kabisa. Boban alikua anaomba mods uzi wa gilesi uachiwe wazi watu waendelee kucheka.
wauachie bana ,au waufute tu kama hautakiwiKuna mmoja kaniona nacheka mpaka na yeye akaanza kucheka. Nikamuhadithia na ndo muda yule Yaka nini sijui ndo katuma anaulizia kama yamekaza basi kacheka.
yatakua yamekaza
Anavaa taiti tatu lakin bado yanatikisika anasumbuliwa sana na miluzi gilesi






Atusamehe tu bure,mi binafsi nimeshindwa kujizuia kuchekaUzuri wa jf yani watu wanakumbuka matukio vizuri,,Sasa unazani Leo (mzee baba) gilesi anajisikiaje anaposoma humu
Itabid uanzishe weww uzi wa kufukua makaburi
maomba unisaidie kuanzisha kama hutojariHapana we anzisha tu![]()
![]()
maomba unisaidie kuanzisha kama hutojari

JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.
Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..
Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Yeuwiiii Umenifurahisha kwa kweliHahah mbona mnategeana jamaniHapana we anzisha tu![]()
![]()
![]()
maomba unisaidie kuanzisha kama hutojari
Deod ndo katoa wazo lakinHahah mbona mnategeana jamani
Hapana we anzisha tu![]()
ila yule mzee kanichekesha sana watu wanamuita dada nunua skin tait mzee anajibu asante sana kwa ushauri
