Hahahahh gilesi ana matako yanashukaNacheka tu leo tukio la gilesi.![]()
Ndo maana kaulizwa yanashuka bado.Hahahahh gilesi ana matako yanashuka


namuita huyo shog angu alosema mim ni impogo aje hapa athibitisheNyumbi hii, bombi hii
Wakunyumba msamehenamuita huyo shog angu alosema mim ni impogo aje hapa athibitishe
Sana jamani. Yani nimecheka mpaka nikamuhadithia mtu kisa cha gilesi![]()
yaani jf wangekuwa na voice note ningetuma voice note yakicheko Yaani mpaka nimehisi tumbo linauma
Asante wakunyumba![]()
mekusikia dada

mwenyewe kuna lijitu liliniudhi hapa eti na I'd mbiliWorry outSorry, nime edit
pole mpenz wanakera sanaAsante wakunyumbamwenyewe kuna lijitu liliniudhi hapa eti na I'd mbili
Sanaaaa ni kuwasamehe tupole mpenz wanakera sana
Nitajie huyo mwenye ushungi wakwetu nimepitwa lol
Kwa niaba yake tu mi nikuombe samahani kwausubbufu uliupata, maisha yana furaha na huzuni pia. Ila vyote huzuni na furaha husababishwa na watu. Kwa hiyo pole sana chukulia ni sehemu ya maisha tu, na endelea na mambo mengine kiroho safi bila kinyongo. Ila kuna msemo waswahili wanasema ukitaka kumvua pweza lazima umchokoze kwanza, inawezekana huyu anataka kuvua pweza 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀namuita huyo shog angu alosema mim ni impogo aje hapa athibitishe
Nimepitwa na huo uzi uwiiiii,ulikua unasemaje huo?Shunie Jolie Jolie carbamazepine naona mod wamekataa ombi la kufungua uzi na wamefuta kabisa uzi wa Ombi.
Ila @Yakamagashi ameniua na swali lake![]()
Itabid uanzishe weww uzi wa kufukua makaburiKichwa cha uzi kiandikwe uzi maalum wa kufukua makaburi itapendeza zaidi
Mim sasa nkaanza kuwahadthia watu hata hawaijui jf,walicheka tu lkn naona walicheka kunsapot tu sidhan kama wamenielewa na gilesi wetuSana jamani. Yani nimecheka mpaka nikamuhadithia mtu kisa cha gilesi![]()
Kauliza eti mkuu buji makalio bado yanatingisha.
Nikiwaza hii comment najisikia kupaa kwa kicheko
