Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,761
Wakija wataona wachekehahhahahahah, mwite na Miss Natafuta na MBITIYAZA JF maraha kwa kweli
Wakija wataona wachekehahhahahahah, mwite na Miss Natafuta na MBITIYAZA JF maraha kwa kweli
Natoa jamani dhambiKwa Shunie Na Ww Hutoa Tuuuuu Ovyo Ovyo Hata Kama Unacho....??
![]()
![]()
![]()
hahahajhahaha@Mbitiyaza hapendagi hizi mambo za umbea umbea jamani
Leo mbiti kuna mtu kamfungia ndanihahhahahahah, mwite na Miss Natafuta na MBITIYAZA JF maraha kwa kweli
Mod nao hawatak watu waanze kumchokoza memba mwenzao eeh. Sa kwanini walifunga na waoUle uzi umefungwa hakuna ku comment zaidi ya ku like tu
Yaan ni I'd kongweMzoefu Katika Nin Sasa Ebu Tunyama Hapa Plz..!!!
Naona alifungua ile ID kwa ajili yangu. Nilivyo mpole mtoto wa watu sijui nililikoroga wapihalaf sisi wengine tukiandika za kuudhi wala hatujibu vibaya mzigua sasa akiandika hata kawaida woiiii anakoma
Hakiii nakutangaza wakunyumba labda ufe na siri yako nitaandika thread hatimaye wakunyumba kaamua kuwa shemaleNtakudunda![]()
Yaaaani nimeeeecheka lakini ujue ni aibu sana kama unafanya ivyo af uje uumbuliwe,hivi kwa mfano akaunt ya yule wa kujisifu alilambwa na mtanga ndo igundulike ni yako mzigua haha hiv utajificha wapi?
Kwahiyo utaniacha eeh. Sawa





ulivyoitikia mpaka huruma nitakachofanya nitamwambia naomba ulog out utoke jfYani mods wabaya sana. Si wangesubiri hata watu wasahau kidogo nao wakaunganisha hapo hapo.Sasa mods kwa nini waliunganisha





MBITIYAZA leo sijui yuko wapihahhahahahah, mwite na Miss Natafuta na MBITIYAZA JF maraha kwa kweli
Hakiii nakutangaza wakunyumba labda ufe na siri yako nitaandika thread hatimaye wakunyumba kaamua kuwa shemale








Kuna member anaitwa sexless mara leo nimezaa na handsome kesho yake unasikia mke wangu kakimbia kitandani tukiwa kwenye show,
Mara ohh Nimepata right mani kazini mume wangu simtaki tena, kesho yake utasikia Nimeamua kimuacha mke wangu rasmi. Yan full vurugu tu.





HahahhaahaYani mods wabaya sana. Si wangesubiri hata watu wasahau kidogo nao wakaunganisha hapo hapo.![]()
Unamuweza Shunie...???Ntakudunda![]()