Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
(1)Nikiwa matembezi mtaani hapa iringa,nimekutana na bibi kizee mmoja kalewa ulanzi chakareee anatembea kwa kujishikilia ukutani huku akiimba wimbo wa Dogo Aslay;(Tena inaniumaaa sana....ooh,nikitoka naenda kumwambia mama...ooh,naenda kuseema kwa mama,kusema kwa mama) x nyingi.Sasa sijui ni kipi kilimsibu bibi kizee huyu umri wa bi kidude mpaka atishie kwenda kusema kwa mamake.