Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,918
- 136,643
Ukinipenda wewe inatoshaBora ata huyo ana penzi wewe ata wakukupenda huna![]()

Ukinipenda wewe inatoshaBora ata huyo ana penzi wewe ata wakukupenda huna![]()

Wee mtani wangu mbona wee wanitania kibamia changuusiniseme sana.
Nikiolewa nyie mnapata faida ganiNarudia tena mlete nyumbani ajitambulishe kaka zako tumechoka kuona unakula bure tuu hapa alafu kibaya zaidi tako unalo sasa kwa nini huolewi wewe dada yetu? Mwishoe tutafanya maamuzi magumu

Lete kibamia hicho nikorogee mlendaWee mtani wangu mbona wee wanitania kibamia changu

Umejuaje?? kama upo kumkichwa yanguWee utangoja mpaka mwaka 2030 ndio uolewe![]()

Sii tunakuwa na furaha kuwa kumbe tumetunza dada yetu vizuri mpaka mtu ameona anafaa kuwa mkeNikiolewa nyie mnapata faida gani![]()
Ngoja nijiungamanishe kwa mwamposa live,Sii tunakuwa na furaha kuwa kumbe tumetunza dada yetu vizuri mpaka mtu ameona anafaa kuwa mke

wapi bujibuji