Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

This is a pharmacy ❤️

IMG-20231209-WA0017.jpg
 
Taarifa minimum
Shinyanga, Dar, Pwani, Mafia,Tanga, Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kigoma na Kagera tujiandae, kutakuwepo na Pacific El nino na Atlantic El nino, mvua zitakuwa kubwa na hatari sana, Mungu atunusuru. Hali ya hewa tayari imebadilika kuanzia juzi, upepo umeanza katika bahari za Atlantic, Pacific na Hindi, Wavuvi wameanza kuzuiwa kwenda kuvua na Meli za tafiti zimeanza kukumbana na dhoruba kali sana Baharini, picha za satellite sio nzuri kabisa. Tunatarajia magonjwa ya Kuharisha, Dengue, Malaria na Homa kuongezeka, tuchukue tahadhari mapema.
Tuangalie nyumba zetu kama zinavuja, turekebishe, tununue Neti za Mbu, tuangalie miundombinu ya maji taka kwenye nyumba zetu. Tununue Jik na water guard kwa ajili ya kuweka kwenye maji ya kunywa, kumbuka kipindi hicho umeme utakatika sana kwa hiyo tununue taa za kuchaji. Sehemu za nyumba ambazo sio imara turekebishe. Tuweke akiba ya chakula na dawa.
Tununue dawa za Mafua, dawa za Watoto za Mafua na Kuharisha, na dawa za Malaria. Tuhifadhi vyakula vikavu kwa mfano nafaka kwa wingi na tununue vitu vya kuhifadhia vyakula. Shinyanga, Dar, Pwani, Tanga zitapata mvua za kiwango cha juu zaidi (above normal to normal)
Send as received
 

Attachments

  • IMG-20231209-WA0058.jpg
    IMG-20231209-WA0058.jpg
    41.8 KB · Views: 6
US President: Biden Age : 82 Years Sequence of events : 1. Wife & Daughter died in road accident whilst going to purchase Christmas Tree 2. One son died due to brain cancer 3. Second son due to cocaine addiction; was removed from U S Navy 4. Biden also had a life threatening brain aneurysm in 1988 and he survived after the surgery Despite the negative life situations, this man at the age of 78 becomes the President of USA This is one of the perfect case studies for the senior citizens of the world He will be physically and mentally fit to take this huge responsibility And we at the age of 60-65 think that every thing is over So all senior citizens !! take this as your new beginning Set your targets You are still young Work hard and achieve what you could not achieve till now Pass on to all senior citizens.
 
Back
Top Bottom