Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377
Katika vitu watu hawachukulii serious ni hii. Kuna siku nilikuwa hospitali pale Palestina nikasikia manesi wanaongelea kuhusu majeruhi waliyetoka kumpa huduma ya kwanza, aisee ni aibu!

