Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231129-092710.jpg
Screenshot_20231129-092718.jpg
Screenshot_20231129-092724.jpg
Screenshot_20231129-092733.jpg
Screenshot_20231129-092738.jpg
Screenshot_20231129-092742.jpg
Screenshot_20231129-092746.jpg
Screenshot_20231129-092750.jpg
Screenshot_20231129-092754.jpg
Screenshot_20231129-092758.jpg
Screenshot_20231129-092804.jpg
Screenshot_20231129-092808.jpg
Screenshot_20231129-092813.jpg
 
Aliyekutwa na nyama ya swala alipigwa mvua 22. Huyu wa nyama ya nembo ya taifa kama siyo kunyongwa mpaka kufa basi ni kifungo cha maisha bila parole!
Vifungo vinavyotolewa mahakamani siku hizi haviangalii sheria inasemaje.
Vinategemea jinsi unavyoweza kutambua thamani ya hakimu anayesiamamia kesi yako.
Ndiyo maana waweza sikia aliyefuja mabilioni ya mradi wa maji au vyumba vya madarasa akahukumiwa jela mwaka mmoja au faini milioni moja.
Lakini wakati huo huo anayekutwa na ganda la ngozi ya Kakakuona akatupwa jela miaka 30 na kazi ngumu.
Eti iwe mfano kwa wahujumu wengine!!
Kama bado uko Florida nakushauri ubaki huko huko na ukifa wakuzike au wakuchome moto huko uliko.
Usitudi Afrika
 
Back
Top Bottom