Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Ninalo ila hakuna cha maana wanachofanya. Ni papatu papatu tu kama pira la Simba. Dogo anahangaika na style kama zote kwa muda mfupi...mpaka kuchezea kisamvu kwa dole![]()

wacha nisiharibu spiritual healing kwa vitu vya kijinga!Ila wanasiasa bwana

Ulikuwa umeshazaliwa hili tukio lilipotokea? Simba ilikuwa inapiga hili pira papatu papatu la akina Mwamba wa Lusaka?![]()
Mshana Jr? 😳😳😳😳