Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
Huku ...tunaliokota direct from Kwa mtiHili sasa ndo parachichi...
Haya tunayouziwa sokoni ni GMO...
Ladha sifuri, yanaharibika haraka.
Hivi kwanini hayo hayaletwi mjini jamani hata wauze 1 elfu 2 nanunua.
Ni kama sasa hivi, kupata embe Dodo asilia sokoni ni kipengele.
Naishia kula mabolibo ya Tabora na yenyewe yamechakachuliwa vilevile.



