dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,590
- 60,795
mmezidi udangaji, mxiu,nyie hii kampeni si jf tu,ata kitaa mambo ni hivyo
Kuna mmoja jana kasema kila akiacha vichenji kwenye suruali alikuwa avikuti lkn sasa anaishi na amani akiacha pesa anaikuta, na kasema hana mpango wa kuoa tenanilicheka.


