Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231122_131752_WhatsApp.jpg


๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ™๐Ÿฟ

Screenshot_20231122_132039_Samsung Internet.jpg
 
Yeah Nipo na Laana
Sema hanipi UTI wala Gono, hanikwapua kibunda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],nyie hii kampeni si jf tu,ata kitaa mambo ni hivyo[emoji23][emoji23]

Kuna mmoja jana kasema kila akiacha vichenji kwenye suruali alikuwa avikuti lkn sasa anaishi na amani akiacha pesa anaikuta, na kasema hana mpango wa kuoa tena[emoji23] nilicheka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],nyie hii kampeni si jf tu,ata kitaa mambo ni hivyo[emoji23][emoji23]

Kuna mmoja jana kasema kila akiacha vichenji kwenye suruali alikuwa avikuti lkn sasa anaishi na amani akiacha pesa anaikuta, na kasema hana mpango wa kuoa tena[emoji23] nilicheka.
mmezidi udangaji, mxiu
 
Back
Top Bottom