Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

SIO DAWA ZOTE ZIPO KWENYE MADUKA YA MADAWA

1 - Mazoezi ni dawa.
2 - Kufunga ni dawa.
3 - Chakula cha asili ni dawa.
4 - Kicheko ni dawa.
5 - Mboga na matunda ni dawa.
6 - Usingizi ni dawa.
7 - Mwanga wa jua ni dawa.
8 - Kuwapenda wengine ni dawa
9 - Kujipenda ni dawa.
10 - Shukrani ni dawa.
11 - Kuacha kosa ni dawa.
12 - Kutafakari ni dawa.
13 - Kusoma na kujifunza Neno la Mungu ni dawa.
14 - Kula vizuri, kwa wakati na bila ziada ni dawa.
15 - Fikra sahihi ni dawa.
16 - Kumtegemea Mungu ni dawa
17 - Marafiki wazuri ni dawa.
18 -. Kujisamehe na kusamehe wengine ni dawa.
19 - Kunywa maji mengi ni dawa.
20 Moyo wenye amani ni dawa
IMG-20231121-WA0082.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MORAL OF LIFE
By reaching this stage in life, the lion can no longer hunt, kill or defend itself.
It roars and roars until it weakens, then it will be surrounded by the Hyenas, nibbled and devoured.
They won't even let him die to be dismembered.
Life is short, what happens to the lion also happens to us humans.
We won't be young forever.
We won't always be the strongest.
We won't always be on top.
We won't always be the boss.
We won't always be the king of the jungle or king of life.
As long as God and life gives us opportunities, let's be humble, remove arrogance and mistreatment.
Because sooner or later, life will pass us a bill and we will reap just what we sow.
FB_IMG_1700620752528.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MLETENI TUMUUE....!

1.kulia ni Kibaka machachari Mkoani Arusha,Mkazi wa Unga limited anaitwa ALLY DANGOTE (19)

Kushoto ni Kibaka mwenzie Hashim Kibwerezi

2.Alikamatwa baada ya mtego wa Polisi Jamii wa mitaa mitatu ya
1.Polisi Jamii wa Kwa baniani
2.Polisi Jamii wa Kanisani
3.Polisi Jamii wa Tindigani

3.Walipowakamata wakawapeleka kwa mwenyekiti wa Mtaa Bw. Abubakar Seif.

4.Mwenyekiti wa mtaa Bw. Abubakar Seif akawapeleka Polisi kituo cha kati Arusha na kuwakabidhi wakiwa wazima wote wawili.

5.Jioni ya leo ndugu walijulishwa kuwa waende wakachukue Maiti zao monchwari.

6.Wananchi wamemimika Chumba cha Kuhifadhia maiti wanaingia na Kuhakikisha kama Kweli ALLY DANGOTE amefariki.

Duuuuhhhh kuua imekuwa kazi nyepesi Kiasi hiki..? Mbeleni italeta shida tu kujua yupi Jambazi yupo siyo Jambazi kwa hao wanaojua Kuua.

Binafsi naona bora wangeuwawa na wananchi wenye hasira kali kama kweli ni wauaji au watu hatarishi kuliko kuhalalisha polisi Kuua watuhumiwa.

SO SIMPLE YANI,HAKUNA NOMA.
20231122_034116.jpg
20231122_034103.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom