Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,315
- 829,433
- Thread starter
- #195,661
SIO DAWA ZOTE ZIPO KWENYE MADUKA YA MADAWA
1 - Mazoezi ni dawa.
2 - Kufunga ni dawa.
3 - Chakula cha asili ni dawa.
4 - Kicheko ni dawa.
5 - Mboga na matunda ni dawa.
6 - Usingizi ni dawa.
7 - Mwanga wa jua ni dawa.
8 - Kuwapenda wengine ni dawa
9 - Kujipenda ni dawa.
10 - Shukrani ni dawa.
11 - Kuacha kosa ni dawa.
12 - Kutafakari ni dawa.
13 - Kusoma na kujifunza Neno la Mungu ni dawa.
14 - Kula vizuri, kwa wakati na bila ziada ni dawa.
15 - Fikra sahihi ni dawa.
16 - Kumtegemea Mungu ni dawa
17 - Marafiki wazuri ni dawa.
18 -. Kujisamehe na kusamehe wengine ni dawa.
19 - Kunywa maji mengi ni dawa.
20 Moyo wenye amani ni dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
1 - Mazoezi ni dawa.
2 - Kufunga ni dawa.
3 - Chakula cha asili ni dawa.
4 - Kicheko ni dawa.
5 - Mboga na matunda ni dawa.
6 - Usingizi ni dawa.
7 - Mwanga wa jua ni dawa.
8 - Kuwapenda wengine ni dawa
9 - Kujipenda ni dawa.
10 - Shukrani ni dawa.
11 - Kuacha kosa ni dawa.
12 - Kutafakari ni dawa.
13 - Kusoma na kujifunza Neno la Mungu ni dawa.
14 - Kula vizuri, kwa wakati na bila ziada ni dawa.
15 - Fikra sahihi ni dawa.
16 - Kumtegemea Mungu ni dawa
17 - Marafiki wazuri ni dawa.
18 -. Kujisamehe na kusamehe wengine ni dawa.
19 - Kunywa maji mengi ni dawa.
20 Moyo wenye amani ni dawa

Sent using Jamii Forums mobile app


