Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,336
- 71,163
Tupo kwenye mazungumzo ya kawaida tu lakn jamaa anachekacheka[emoji16]utakuta anacheka kitu cha kawaida sanaa
na anakionaga daily
Tupo kwenye mazungumzo ya kawaida tu lakn jamaa anachekacheka[emoji16]utakuta anacheka kitu cha kawaida sanaa
na anakionaga daily
Hawakujui!Vimbaumbau tunashida[emoji16][emoji16],
Wamenifungulia,yaani baadae naachia meme za kuzidi wanifungie tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoma ya Sudan Kusini hii au ni Jaluo original. Hakuna Msukuma mweusi hivi...japo ni tunu!Mwanza... Mwanza..[emoji1787][emoji1544][emoji1550]View attachment 2817151
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wananitania.Hawakujui!