Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,298
Wtt wazuri mbona umewapost kwny vituko?
Wtt wazuri mbona umewapost kwny vituko?
Hee ndo huwa yuko hivyo?
Hizo kovu za mtu mwenye grid ya Taifa..huwa ni nyeusiii hazina weupe weupe ndani yake...nawafundisha nyie mabazazi muwe mnaangalia makovu msije ungua
Huyo nimesoma nae...hana 70hivi ni kweli upo kwenye 70s?
YelewiiiiiiWasukuma fuateni mambo yenu.
View attachment 2815659
Mbeya
Asante classmate 👏Huyo nimesoma nae...hana 70
Mwakaleli siyo!!Mbeya
Kitanda hakizai haramu.😌😌Halafu ndo unakuta litoto siyo lako umebambikiwa mimba 😬😬😬😬