Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1699528885197.jpg
 
Kamwe usifanye jambo ambalo unajua litakuumiza; na huna cha kufanya isipokuwa kumwachia Mungu

Sasa kafa. Then what? 😳😳😳

Mama E hata aniachie simu mwezi mzima na bila password kamwe sitaanza kufukunyua labda kama nimemchoka na niko tayari kuachana naye. Haya mambo hayako siriazi kihivyo jamani!
 
Screenshot_20231110-162309_WhatsApp.jpg


Give it caption

Jirani: Oyaaa huyuni jirani yangu wa karibu sana, namteki kea kila anapoenda, usalama wake juu yangu.
Wee tulia dogoo...

Dogo: sawa mkuu natambua ujirani wenu, nilikuwa namsabahi tuu bibie...🙂

Bibie: Jamani hebu tutulie tupate picha nzuri ya ukumbusho, watakuwa hawatualiki siku nyingine 😀
 
Back
Top Bottom