Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1698732700041.png
 
Nilipitia Group moja la wahenga, nikakuta mwanachama mmoja ameandika hivi:

"Kiwanja cha ndege Dar es salaam Terminal 1 mnamo miaka ya 1950. Wakati huo Tanzania bado ikiitwa Tanganyika.
Kiwanja hiki kilijengwa na Muingereza ambaye hakutaka kabisa kuendelea kutumia kile kiwanja cha ndege kilichojengwa na Mjerumani kule maeneo ya Kurasini, yaani lile eneo zima la JKT Mgulani, Jeshi la Wokovu, Temeke Wailesi, Uwanja wa Taifa mpaka pale mtoni kwa Azizi Ally"

Credit:
Group la wahenga
FB_IMG_1698737613982.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom