Nilipitia Group moja la wahenga, nikakuta mwanachama mmoja ameandika hivi:
"Kiwanja cha ndege Dar es salaam Terminal 1 mnamo miaka ya 1950. Wakati huo Tanzania bado ikiitwa Tanganyika.
Kiwanja hiki kilijengwa na Muingereza ambaye hakutaka kabisa kuendelea kutumia kile kiwanja cha ndege kilichojengwa na Mjerumani kule maeneo ya Kurasini, yaani lile eneo zima la JKT Mgulani, Jeshi la Wokovu, Temeke Wailesi, Uwanja wa Taifa mpaka pale mtoni kwa Azizi Ally"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.