Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,407
- 857,682
- Thread starter
- #191,461
Miaka miwili sasa toka atekwe na kupotezwa kisa alionekana atashinda Uwakilishi.Anayehusika kumteka ni mshirika wa Mwinyi na sasa kampa kabisa na Unaibu Waziri wa Ardhi Zanzibar wanakwapua naye.Hii dhulma na damu haitawaacha salama!Zanzibar na camera zote mnaongopa hamjui alitekwaje!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app