Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Kweli kabisa babu,maana utakuta mtu mlilala wote asubuhi haamki,kumbe alishakufa tokea saa nane huko na hamjui.Na huu ndiyo muda unaoongoza kwa watu kukata moto. Inashauriwa sana ukiamka wakati huu upige sala ya toba na ulinzi hata kama ni fupi![]()