ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,116
- 5,531
Na mm pia naomba kutagiwa😀😀😀.Umejibu vyema sana. Busara tupu yaani! 👏👏👏
Hili ni swali la kipuuzi ambalo huulizwa na wapuuzi na kujibiwa kiuhalisia na wapuuzi wenzao maana halina faida yo yote whatsoever; na linaweza kuwa na madhara kama mwanaume hana kifua na awe amependa sawasawa. Binafsi lilishawahi kuniletea matatizo. Kuna siku nitalianzishia uzi. Nitakutag...😁
