Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Wakiona hii watu wa haki za wanyama sipati picha. Ni ukatili tu au ni masharti ya mganga?
Wakiona hii watu wa haki za wanyama sipati picha. Ni ukatili tu au ni masharti ya mganga?
morogoro, kilimanjaro nimewahi kusikia kesi za nyama ya mbwa kuuzwa migahawani.... hela nje nje mbwa si hawauzwiWakiona hii watu wa haki za wanyama sipati picha. Ni ukatili tu au ni masharti ya mganga?
We ulikuwa na ngapi kabla hujakutana na hubby? 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️Hii itakua ni chai...hakuna binadamu wa hivyo jamani 102? Hapana aisee 10 tuu ni shughuli
Mayai hatunayo 😁
Siri ya kambi...hata mke wako usimuulize hili swali...hata akiwa mmoja utaumia tuu...utasema why mmoja tuu inamaana ulimpenda sana kwangu umekuja basi tuu...wakiwa 20 unapata kisukari....wakiwa 102 ndoa hakuna tena...We ulikuwa na ngapi kabla hujakutana na hubby? 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Umejibu vyema sana. Busara tupu yaani! 👏👏👏Siri ya kambi...hata mke wako usimuulize hili swali...hata akiwa mmoja utaumia tuu...utasema why mmoja tuu inamaana ulimpenda sana kwangu umekuja basi tuu...wakiwa 20 unapata kisukari....wakiwa 102 ndoa hakuna tena...
Shukrani mkuuu..Umejibu vyema sana. Busara tupu yaani! 👏👏👏
Hili ni swali la kipuuzi ambalo huulizwa na wapuuzi na kujibiwa kiuhalisia na wapuuzi wenzao maana halina faida yo yote whatsoever; na linaweza kuwa na madhara kama mwanaume hana kifua na awe amependa sawasawa. Binafsi lilishawahi kuniletea matatizo. Kuna siku nitalianzishia uzi. Nitakutag...😁
Usiache kunitag....uulete mapema labda nitapunguza safari za jukwa la michezo 😀 😀 😀Umejibu vyema sana. Busara tupu yaani! 👏👏👏
Hili ni swali la kipuuzi ambalo huulizwa na wapuuzi na kujibiwa kiuhalisia na wapuuzi wenzao maana halina faida yo yote whatsoever; na linaweza kuwa na madhara kama mwanaume hana kifua na awe amependa sawasawa. Binafsi lilishawahi kuniletea matatizo. Kuna siku nitalianzishia uzi. Nitakutag...😁
Kwamba jamaa akapindua serikali na kubeba jumla. Safi sana!Shukrani mkuuu..
Haha ni upuuzi kweli...mimi mr hajawahi niuliza kwa sbb alinikuta na mtu sema alikua anazingua yy akawa serious na mipango dhabiti si unajua wanawake huwa na sisi tunaangalia mwenye anataka kutuchukua jumla...sasa angeniuliza hili swali ningemshangaa...
Nitajitahidi wiki hii au ijayo...japo siyo mzuri sana katika kuanzisha nyuzi...Usiache kunitag....uulete mapema labda nitapunguza safari za jukwa la michezo 😀 😀 😀
Kabisaaa...mwamba akaniweka ndani...Kwamba jamaa akapindua serikali na kubeba jumla. Safi sana!
Hata mimi nilishakoma na sitakaa niliulize hilo swali tena kamwe! Ukimkuta mtu siyo bikra na hana magonjwa basi unakausha tu na mnalisongesha. Kuchakura chakura mambo yaliyopita lazima tu mtaishia kuchakura matakataka yasiyo na faida kutoka katika jalala lenu la mapenzi ya nyuma. Na hilo halina faida hata moja!
Hizo mechi haziepukiki...lazima tucharuane kidogo...Nitajitahidi wiki hii au ijayo...japo siyo mzuri sana katika kuanzisha nyuzi...
Michezo lazima kama Makolo au Uto wanakipiga. Hiyo huwa ni burudani tosha!
Dada Bella ana balaa sana. Utaangalia wadau wote for hours ila ukifika kwenye vichupa vyake tu basi ujue it is over and you are going to nutJina lake linenitoka ila ana katako ka Mloganzila hivi...mitanange yake na mzee mzima Mandingo, Rico Strong na hata mfalme wa Italy Mike Adriano ilikuwa ni hatari kweli kweli...
Peponi tunakwenda hatuendi?![]()

