Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,948
- 136,701
Unafanya nini saa 9 yote hii jamani? Usingizi umegoma ama nini sasa? 😳Babu
Nimeshtuka nilikuwa nahisi sijala,kumbe nilikulaUnafanya nini saa 9 yote hii jamani? Usingizi umegoma ama nini sasa?
I lavu yu mjukuu![]()

Mwenyewe hapa pia ndo kilichoniamsha. Kuna ugali na kitimoto sikuumaliza sasa kila nikigeuka nasikia kamalizie ule ugali wewe...yaani dah!Nimeshtuka nilikuwa nahisi sijala,kumbe nilikula![]()
Hahahaha, mie hapa kuna ndizi aisee,hadi nile nitaridhikaMwenyewe hapa pia ndo kilichoniamsha. Kuna ugali na kitimoto sikuumaliza sasa kila nikigeuka nasikia kamalizie ule ugali wewe...yaani dah!


Hivi kwanini ikifika saa 8+ baadhi ya watu usingizi unakata kabisa??
Mida ya wangaHivi kwanini ikifika saa 8+ baadhi ya watu usingizi unakata kabisa??

Washindwe,