Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Papachu papachu
0269b7a8-29d5-45d7-91d1-5a36b82f9614.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali hutoa stipend kidogo kwa watu masikini kila mwezi. Na si ajabu kukuta mtu ni homeless lakini anafanya kazi hizi za kima cha chini huko McDonald's na KFC. Mshahara anaopata unakuwa haumuwezeshi kupanga hata chumba kimoja maana katika miji mingi rent ziko juu sana.
Wenzetu wana unafuu sana, bora kuwa maskini USA kuliko bongo!
 
Back
Top Bottom