Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hata hiyo Kesi ya Kudakwa #Atashinda
emoji23.png
emoji23.png
🤣🤣👍
 
Kuna watu wana akili za kuzaliwa

Sio hawa wengine wanaingia kwa kubebwa hadi Mhe. RAIS juzi kasema kuhusu competence yao
Huyu atakuwa kasoma sheria sema sasa akaja kushindwa kwenye BAR exam kama vijana wetu wengi wanavyogaragazwa na mtihani wa TLS. Naona aliachana na hekaheka za kufaulu mtihani huo ili apate kibali cha kuwa mwanasheria akaona isiwe kesi. Kama amejifunza mwenyewe sheria basi atakuwa amefanya hivyo kwa muda mrefu sana na ana bashasha na uwezo mkubwa wa kuongea, mantiki na kanuni za kimahakama.

Na naamini hiyo rekodi yake itakuwa imejazwa mubaalagha!
 
Back
Top Bottom