Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,978
- 32,479
Hii nitaijaribu kwa Mama E tena wikendi hii hii 😁😁😁💪
tanzania's biggest killerHypertension (Blood Pressure) sasa hivi inaua mpaka vijana wa miaka 35. Hata sijui tatizo ni nini.
Men, please check your BP, sugar and cholesterol. Let's try not to die early for these well known causes. Acha tufe kwa stress tunazopewa na wake zetu lakini siyo kwa hizi sababu za wazi na zinazojulikana 🙏🏿
View attachment 2758380View attachment 2758381View attachment 2758382View attachment 2758383View attachment 2758384View attachment 2758385
Pole sana...Mzee wako apumzike salama.tanzania's biggest killer
I lost my dad to this
pombe, nyama choma tamu sanaPole sana...Mzee wako apumzike salama. Na kwa vile we ni atheist hakuna hata matumaini ya kukutana naye tena 😭
➡️➡️➡️ Hata mimi classmates wangu wanadondoka kama mchwa. Mpaka inatisha yaani japo kwa sisi wazee BP ni kawaida na inategemewa. Kuna trend sasa kwa wanaume hata kabla hawajagonga 40 huyoo acute hypertension mtu mnaongea leo kesho unasikia amezima tu ghafla kisa BP. Hata sijui tatizo ni nini. Juhudi za makusudi zinahitajika aisee. Na inabidi tubadili mfumo wetu wa maisha
Hakika ni jibu sahihi, haiwezekani kutatua tatizo na akili iliyotengeneza tatizo.View attachment 2758479
=
View attachment 2758478
=
My take | Nimependa jibu, Naunga mkono hoja zake.
Tuache nini mkuu katika kula na kunywa?Pole sana...Mzee wako apumzike salama. Na kwa vile we ni atheist hakuna hata matumaini ya kukutana naye tena
Hata mimi classmates wangu wanadondoka kama mchwa. Mpaka inatisha yaani japo kwa sisi wazee BP ni kawaida na inategemewa. Kuna trend sasa kwa wanaume hata kabla hawajagonga 40 huyoo acute hypertension mtu mnaongea leo kesho unasikia amezima tu ghafla kisa BP. Hata sijui tatizo ni nini. Juhudi za makusudi zinahitajika aisee. Na inabidi tubadili mfumo wetu wa maisha
Na nyie mabaharia wengine hamna vifua. Mkipigwa chini huko na pisi zenu za Chuga basi mawazo kibao msongo wa mawazo Cortisol levels za juu mpaka mnajipa presha....Muwe na vifua mkipigwa chini mnapotezea tu (utafikiri rahisi!) 😁😁😁pombe, nyama choma tamu sana
ngumu sana kujizuia
na mazoezi ni kipengele
Kila kitu tufanye kwa kiasi mkuu 😁Tuache nini mkuu katika kula na kunywa?