Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,405
Chemsha maji yachemke vizuri halafu utiemo kwa dakika mbili tatu hivi huku yakiendelea kuchemka tayari unakuwa sanitized. Nikanunue mwingine nimerogwa? š
Chemsha maji yachemke vizuri halafu utiemo kwa dakika mbili tatu hivi huku yakiendelea kuchemka tayari unakuwa sanitized. Nikanunue mwingine nimerogwa? š
Mmh inataka moyo hasa ukiwa unapiga mahesabu ya msosi na mwenye nyumba anadai kodi yake. Kazi ulishaachishwa.Chemsha maji yachemke vizuri halafu utiemo kwa dakika mbili tatu hivi huku yakiendelea kuchemka tayari unakuwa sanitized. Nikanunue mwingine nimerogwa? š
I'll send back
Hayo ni mambo yake ya uchawi nadhani. Na vyenyewe ni vituko mtandaoni tu šMi naona kama huyu Jamaa anaitwa Mshana amechanganyikiwa, anapost vitu visivyo eleweka vikaragosi na ni tofauti na maudhui ya uzi, sijui tatizo nini. Hata kama uzi aliuanzisha yeye lakn amekengeuka na ana matatizo
Labda kiwe choo cha umma