Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1694385246674.jpg
 
Mi naona kama huyu Jamaa anaitwa Mshana amechanganyikiwa, anapost vitu visivyo eleweka vikaragosi na ni tofauti na maudhui ya uzi, sijui tatizo nini. Hata kama uzi aliuanzisha yeye lakn amekengeuka na ana matatizo
Hayo ni mambo yake ya uchawi nadhani. Na vyenyewe ni vituko mtandaoni tu 😁
 
Back
Top Bottom