Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

6c6105da280174cc8957f0c50b29eb00.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilinichukua muda mrefu kuelewa maana ya kusamehe mtu. Siku zote nilijiuliza ningewezaje kumsamehe mtu aliyechagua kuniumiza? Lakini baada ya kutafakari sana, niligundua kuwa msamaha sio juu ya kukubali au kusamehe tabia zao. Ni juu ya kuiacha na kuzuia tabia zao kuharibu moyo wangu.
0c481e7c6dbfebbf7543c90a137e86d0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom