

Sisi tunaochemsha nyama na kuweka kwenye friji je?Jifunze hili...
Kama una friji kuwa makini na vitu vyako unaweka humo kiafya.. Usije ukawa unakula makapi kila siku..
.
KUKUhukaa siku 1 mpaka 2 tu
Nyamahukaa siku 3mpaka5 tu
Yogurthukaa week 2 tu
Cheesehukaa week3mpaka4
Maziwahukaa week 1.
Mayaihukaa week 3 mpaka 5,
Mboga mbogani week 2
Ndimu, limaoweek 1 mpaka 3..
.
#drkileshoView attachment 2743658
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello 🖐🖐🖐🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Hello





Sasa Mpare kuuziwa sambusa zenye makande kuna tatizo? 😳😳😳Dah!! Ila wauza Sambusa wa Moshi mtafika mbiguni mmechoka sanaaa yani nyie wakuniuzia Sambusa ndani zina makandeView attachment 2743680
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!! Ila wauza Sambusa wa Moshi mtafika mbiguni mmechoka sanaaa yani nyie wakuniuzia Sambusa ndani zina makandeView attachment 2743680
Sent using Jamii Forums mobile app



Wapare na makande bana duh!