Huyu nguo ameridisha kweli ,mwisho ili kua ni Leo
Kikwetu huyu ndie kiboboruMabegi yenye noti za Franga pamoja dola za Marekani yamekutwa katika Ikulu ya Rais wa zamani wa Gabon aliyefurushwa madarakani hapo jana, Ali Bongo. Makachero wanaendelea kuzihesabu lakini bado hazijajulikana thamani yake kwa sababu kila wakikaribia kumaliza wanakutana na furushi jingine la noti. Hawa ndio viongozi wa Afrika wajiitao wazalendo. Halafu yakiwafika wanasema "please make noise" Kiboboru.!!View attachment 2734601
Basi wanawake wangejua hata 200 wakitutumia tunajisia fahari isiyo na mfano.
Hamna kazi ngumu kama kulitoa hilo jiwe hapo, enzi hizi barabara za kijijini kwetu tulikua tunapata hala kwa kumsaidia dereva kulitoa hilo jiwe.