Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jose Rene Higuita aka Al Loco (The madman)..
IMG_1693422177916.jpg
 
Baba yake Rais Bongo aliyepinduliwa leo
1.Alikuwa na Watoto 30+
2.Aliitawala Gabon kwa miaka 42
3.Alikuwa na Account za Benki zaidi ya 70 nje ya nchi
4.Familia yake ilikuwa inatumia Tsh Bilioni 174 kwa Mwaka
5.Alimiliki zaidi ya Majumba 40 ya kifahari Ulaya na Marekani
Hakuna kitu wanaogopa waafrika kama umasikini.
Yuko tayari kuiba, kudanganya hata kuua ili mradi amiliki pesa ndefu .
 
Huyu jamaa alituambia tujifunze kwanza elimu ya Katiba kwa miaka mitatu ndipo tudai Katiba mpya. Miaka mitatu ni muda wa kuhitimu shahada ya sheria (LLB) Chuo Kikuu cha Tumaini. Ukisoma LLB ndani yake unasoma na sheria ya Katiba (Constitutional Law). Kwa lugha rahisi Ndumbaro alituambia watanzania wote tupate kwanza degree ya sheria ndio tudai Katiba mpya. Kiwango cha juu kabisa cha kupuuza maoni ya watanzania kuhusu Katiba wanayotaka. Leo kapelekwa wizara ya Sanaa na Utamaduni akahangaike na akina Steve Mweusi na Mkojani. Haya maisha jifunze kuwa humble tu. Nothing last permanent.!
FB_IMG_1693474868622.jpg
 
Back
Top Bottom