Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230719_074102_Telegram.jpg
 
Itatugharimu bilioni ngapi kuvunja mkataba wa DP World? Naona lengo hasa la habari hii kuja sasa hivi ni kutisha watu kuhusu gharama tutakazoingia tukivunja mkataba huu wa sasa.

Screenshot_20230719_074219_Telegram.jpg


Ilikuwa sahihi kuvunja mamikataba haya ya kinyonyaji maana hata hiyo faini yenyewe tuliyopigwa haifikii hata robo moja ya hela tunazoibiana wenyewe humu humu ndani kila mwaka. Tungeendelea na mkakati huo, tukapunguza ufisadi, tukasimamia raslimali zetu vizuri mbona tungetoboa tu?

Shida yetu hasa ni nini? 😭😭😭

Screenshot_20230718_113710_Chrome.jpg
 
Itatugharimu bilioni ngapi kuvunja mkataba wa DP World? Naona lengo hasa la habari hii kuja sasa hivi ni kutisha watu kuhusu gharama tutakazoingia tukivunja mkataba huu wa sasa.

View attachment 2692700

Ilikuwa sahihi kuvunja mamikataba haya ya kinyonyaji maana hata hiyo faini yenyewe tuliyopigwa haifikii hata robo moja ya hela tunazoibiana wenyewe humu humu ndani kila mwaka. Tungeendelea na mkakati huo, tukapunguza ufisadi, tukasimamia raslimali zetu vizuri mbona tungetoboa tu?

Shida yetu hasa ni nini?

View attachment 2692701
006c208b814e2000402713af243c5c13.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom