Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Itatugharimu bilioni ngapi kuvunja mkataba wa DP World? Naona lengo hasa la habari hii kuja sasa hivi ni kutisha watu kuhusu gharama tutakazoingia tukivunja mkataba huu wa sasa.
View attachment 2692700
Ilikuwa sahihi kuvunja mamikataba haya ya kinyonyaji maana hata hiyo faini yenyewe tuliyopigwa haifikii hata robo moja ya hela tunazoibiana wenyewe humu humu ndani kila mwaka. Tungeendelea na mkakati huo, tukapunguza ufisadi, tukasimamia raslimali zetu vizuri mbona tungetoboa tu?
Shida yetu hasa ni nini?
View attachment 2692701
Sio lazima wafanane,Kitanda hakizai haramu.
Hatuwezi cho chote yaani! 😭😭
Nimeifungua ofisini 🫣🫣🫣🫣Tirriries ❤️❤️❤️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2692693View attachment 2692694View attachment 2692696
Gosha wedi, wakedhije vivere uko kayaSi rahisi kutofautosha tui na maziwa....
Vivyo hivyo upareni na usambaani....
Gosha wedi, wakedhije vivere uko kaya.
.


Tafakari,
Ukitimuliwa kazini mi sitakuwa na msaada wo wote kwako!Nimeifungua ofisini 🫣🫣🫣🫣