Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

a9a1112c-9612-4cad-9a29-57bc3e8bd8a0.jpg
 
1. Mungu wangu. Naomba ridhiki yako maana nina njaa na watoto wangu wana siku sita hawajala cho chote. Wewe ndiye mtoa ridhiki mkuu. Nisaidie Baba yangu

2. Mungu Baba. Niokoe na dhahma hii. Wewe uliahidi kuwa wote wakutegemeo hutawaacha waangamie bali utawaokoa na kuwaponda ponda maadui zao. Baba nikutegemeaye usiniache niangamie leo

Naam! Dunia ya mikinzano. Hasi na chanya. Huyu apate. Mwingine akose. Uhai na kifo. Furaha na huzuni. Upendo na chuki. Ukweli na uwongo. Mungu na Shetani. Dunia!

View attachment 2692655
20230719_070909.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mungu wangu. Naomba ridhiki yako maana nina njaa na watoto wangu wana siku sita hawajala cho chote. Wewe ndiye mtoa ridhiki mkuu. Nisaidie Baba yangu

2. Mungu Baba. Niokoe na dhahma hii. Wewe uliahidi kuwa wote wakutegemeo hutawaacha waangamie bali utawaokoa na kuwaponda ponda maadui zao. Baba nikutegemeaye usiniache niangamie leo

Naam! Dunia ya mikinzano. Hasi na chanya. Huyu apate. Mwingine akose. Uhai na kifo. Furaha na huzuni. Upendo na chuki. Ukweli na uwongo. Mungu na Shetani. Dunia!

View attachment 2692655
Naam! Dunia ya mikinzano. Hasi na chanya. Huyu apate. Mwingine akose. Uhai na kifo. Furaha na huzuni. Upendo na chuki. Ukweli na uwongo. Mungu na Shetani. Dunia!
20230719_070935.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mungu wangu. Naomba ridhiki yako maana nina njaa na watoto wangu wana siku sita hawajala cho chote. Wewe ndiye mtoa ridhiki mkuu. Nisaidie Baba yangu

2. Mungu Baba. Niokoe na dhahma hii. Wewe uliahidi kuwa wote wakutegemeo hutawaacha waangamie bali utawaokoa na kuwaponda ponda maadui zao. Baba nikutegemeaye usiniache niangamie leo

Naam! Dunia ya mikinzano. Hasi na chanya. Huyu apate. Mwingine akose. Uhai na kifo. Furaha na huzuni. Upendo na chuki. Ukweli na uwongo. Mungu na Shetani. Dunia!

View attachment 2692655
Mungu wangu. Naomba ridhiki yako maana nina njaa na watoto wangu wana siku sita hawajala cho chote. Wewe ndiye mtoa ridhiki mkuu. Nisaidie Baba yangu
20230719_070948.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuomba radhi kutwa mara tatu

Wiki iliyopita Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera alisema Mawakili waliofungua kesi kupinga Bandari zetu kubinafsishwa ni wezi. Homera aliwataja mawakili hao kuwa ni Wakili msomi Boniphace Mwabukusi, Wakili msomi Alphonce Lusako, Wakili Msomi Emmanuel Chengula na Wakili msomi Raphael Ngonde. Alidai mawakili hao wananufaika na wizi wa bandarini ndio maana hawataki bandari ibinafsishwe.

Kufuatia tuhuma hizo, Mawakili hao wamemtumia Homera kusudio la kutaka kumburuza Mahakamani kwa kuwachafua (slander defamation) na wanamdai fidia ya TZS 200 Milioni.

Ikiwa Homera hapendi kuburuzwa mahakamani, amepewa fursa ya kuomba radhi mara 3 kwa siku, kwa muda wa siku 3. Yani asubuhi saa 12 aende Redioni aseme "Mimi Juma Homera, naomba radhi kwa kutumia mamlaka yangu vibaya na kwa ujinga wangu niliwaita wezi watu wanaotetea bandari zetu zisiporwe na waarabu". Afanye hivyo saa 6 mchana na saa 2 kamili usiku (Kama dozi ya Malaria).

Akishindwa kufanya hivyo ataburuzwa Mahakani, yakamkute yaliyomkuta Musiba kwa Fatma Karume na Mzee Membe. #IweFundisho #BandariYetuUrithiWetu #SayNoToChiefMangungo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom